Quantcast
Channel: CHIMBUKO LETU
Browsing all 911 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOWNLOAD NGOMA MPYA KUTOKA KWA CHRIS BEE

Mdau wa muziki unaweza Ku-download wimbo huu mpya kutoka kwa Chris Bee hitmaker wa WALA kupitia link ifuatayo https://mkito.com/artist-profile/chris-bee/475

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Ijumaa July 11 2014

.Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti mpya yatolewa kuhusu kuzuia malaria na afya ya mama na watoto

Kusikiliza / HamishiaRoll back Malaria(RBM)Picha ya Benjamin Schilling/PSIRipoti mpya inayoonyesha faida za kupambana na malaria kwa afya ya akina mama na watoto imezinduliwa leo kwenye hafla maalum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU ASIYE NA TAALUMA AFUNDISHA KUANZIA DARASA LA AWALI MPAKA DARASA LA...

Mwalimu Laiton Jackson Ngoli(46)wa shule ya awali Kijiji cha Maendeleo Ishungu Kata ya Ruiwa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufundisha watoto zaidi 300. Shule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA USAJILI SOKA ULAYA

Arsenal wamepata matumaini zaidi ya kumsajili Sami Khedira, 27, baada ya kiungo huyo kukataa kusaini mkataba mpya na Real Madrid (Daily Star), Arsenal pia wapo katika mazungumzo ya kumsajili Loic Remy...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL NA BARCA WAKUBALIANA JUU YA SUAREZ

Liverpool wamefikia makubaliano ya kumuuza Luis Suarez kwenda Barcelona. Ada ya uhamisho inadhaniwa kuwa takriban pauni milioni 75. Suarez alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Ajax, kwa pauni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA YATANGAZA WATAKAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA

 Fifa imetangaza orodha ya majina 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora katika michuano ya Kombe la Dunia - 2014 Golden Ball. Wachezaji watatu wametoka Argentina, Angel Di Maria, Javier Mascherano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA TOURE ASEMA UBAGUZI UNAMUATHIRI

Wakala wa Yaya Toure amedai kuwa sababu ya kiungo huyo wa Manchester City kutoshinda tuzo zozote kubwa ni kwa sababu ya rangi yake ya ngozi. Wakala huyo, Dmitri Seluk amesema kiungo huyo raia wa Ivory...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA SOKA ULAYA

*Di Maria 'kuitosa' Man U *Liverpool kusajili wengine SITA *Suarez kukatwa mshahara akirudia 'mchezo wake' Juventus wanajipanga kutoa pauni milioni 20 kumchukua Paulinho, 25, kutoka Tottenham, hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking Newz:- Mh. Joseph Mbilinyi (Mr. 2 a.k.a Sugu) Mbunge wa Jimbo la...

Exclusive intel ni kwamba Mh. Joseph Mbilinyi (Mr. 2 a.k.a Sugu) Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini amekubali kuwa mgeni rasmi siku ya uzinduzi wa Mixtape ya LIL STIGGAR ya Rise and Shine. Hope to see u...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA MICHEZO ZILIZOJIRI MIDA HII...

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho inaarifiwa amempigia simu kiungo wa Real Madrid Sami Khedira kujaribu kumshawishi mchezaji huyo wa Ujerumani kwenda Darajani badala ya Arsenal, limesema shirika la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOFYA HAPA KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU

                       MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWAMatokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka.Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Recho Afunguka Kuhusu Kutoka Kimapenzi Na T.I.D Mnyama

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat maarufu kama Rachel, amekanusha uvumi kuwa anatoka kimapenzi na mkongwe wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’. Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID YATAJWA NA FORBES KUWA TIMU TAJIRI ZAIDI DUNIANI

Klabu ya mpira wa Miguu ya Real Madrid yenye maskani yake nchini Uhispania imeongoza katika orodha ya Forbes ya timu zenye thamani zaidi duniani. Real Madrid, walioshinda Champions League mwezi Mei,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu milioni 19 kati ya milioni 35 hawajui kama wana virusi vya HIV:UNAIDS

Kusikiliza / HamishiaMkurugenzi Mtendaji wa UNAIDS, Michel Sidibé,@UNAIDSRipoti mpya ya Shirika linalohusika na HIV na Ukimwi, UNAIDS, imeonyesha kuwa takriban watu milioni 19 kati ya watu wapatao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA, DR.MARY MWANJELWA, ATIMIZA AHADI YA VIJANA...

 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akifurahia jambo na kocha mkuu wa timu ya Isyesye FC, Steve Kasalila (KULIA) na Katibu wa wanawake wa CCM kata ya Isyesye, Zainab Kessy(KULIA)....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo Ijumaa July 18 2014

.Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE;- DOWNLOAD NA SIKILIZA NGOMA YA CHRIS BEE

Mdau unaweza kununua wimbo wangu kwa SHILINGI 250 kupitia MPESA/TIGO PESA/VISA/MASTERCARD/PESAPAL na unaweza Ku-download wimbo huu mpya kutoka kwa Chris Bee hitmaker wa WALA kupitia link ifuatayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utandawazi.....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utandawazi.......

View Article
Browsing all 911 articles
Browse latest View live